Posts

Mwanafunzi Ajifungua Ndani ya Daladala

Image
Mwanafunzi mmoja wa Shule ya Sekondari ya Keko amejifungua mtoto akiwa ndani ya daladala maeneo ya Mtoni Kwa Azizi Ally, jijini Dar es Salaam juzi  tarehe 23.   Mwanafunzi huyo ambaye hakuweza kupatikana jina lake mara moja, anasemekana alijifungua mtoto huyo bila ridhaa yake wakati akiwa katika harakati za kuitoa mimba hiyo.   Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, msichana huyo anasemekana alikuwa amekunywa madawa makali kwa lengo la kuitoa mimba hiyo ambayo anadaiwa kuificha  hadi pale alipoumbuka mchana wa siku hiyo.   Haikuweza kufahamika mara moja alikopelekwa mtoto huyo baada ya tukio hilo wala hatua alizochukuliwa binti huyo.

HUYU NDIO MTU ASIYE NA USO, ANAHOFU MTOTO WAKE MTARAJIWA ATAFANANA NA YEYE

Image
Baba mtarajiwa amezungumza kwa mara ya kwanza juu ya kuishi bila kuwa na uso na kwa namna gani anahofia juu ya hali atakayozaliwa mtoto wake mtarajiwa.Anaitwa Mohammad Latif Khatana, 32, kutoka Kashmir, India, hawezi kuona wala kufanya kazi kutokana na ngozi zilizofunika uso wake. Watu humkimbia barabarani kutokana na hali yake huku wakionekana kuogopeshwa nayo.    Kwa sasa ni mwenye faraja kutokana na ukweli kwamba mke wake ni mjamzito wa miezi saba, ila ana hofu labda huenda mtoto wake anaweza kuzailiwa akiwa anfanana naye. Alisema: “Naingoja kwa hamu hii hali ya kuwa baba na kupata furaha ya maisha. Ila nahofu kila siku na kusali ili mwanangu asije kuzaliwa kama mimi.”   Latif, ambaye anaishi milimani na mke wake mwenye miaka 25 aitwaye Salima, eneo la Tuli Bana, ndani ya Jammu and Kashmir, huwa anatembea mpaka Srinagar mara nne kwa mwaka kwa ajili ya kuomba misaada na ili kupata hela.   Alizaliwa na kinundu kidogo kwenye uso wake ili kimeendelea kuk

DIAMOND THE PLATNUMZ AWARUSHIA BURUNGUTU LA MAMILION MASHABIKI WAKE KWENYE TAMASHA LA TIGO KIBOKO YAO LEADERSCLUB

Image
  Kwa roho nzuri alokuwa nayo Diamond na kwa kutambua mchango wa mashabiki wake aliamua kurudisha fadhila japo kidogo kwa kuwarushia maburungutu ya pesa wakati akiimba kama ahsante kwa mashabiki .. pengine kuna walokuwa hawana nauli za kuwarejesha makwao..wamepata pesa..kuna walokuwa hawajui.maskin ya Mungu kesho wataamkaje..but wamepata kianzio kuna walopata pesa ya kula bata ..etc... side B sasa . kwanza badala ya kupitia mlango husika karuka ukuta(cjaelewa bdo alikua na maana gani)..mashabiki wenu mloweka kuzomea/kurusha chupa baada ya kuona pesa wakasariti badala ya kuzomea wakaishia kuokota na kudaka pesa na mwisho kupiga shangwe tuu.

Je unasumbuliwa na tatizo la kutodumu na mpenzi mmoja?fanya haya kuepuka tatizo

Image
  Ni matumaini yangu marafiki mtakuwa mko poa na mnaendelea na majukumu ya kazi za kila siku. Kama kawaida kupitia safu hii tunapata kujifunza yahusuyo mapenzi. "Ninapoandika makala haya, najaribu kujenga picha kwa vijana wangu wakali kunako anga la muziki wa Bongo Fleva, Ali Kiba na Judith Wambura ‘Jide’ walipoimba; hakunaga mapenzi yale… kupendana ni zama za kale!... siku hizi kwa kudanganyana, mvulana msichana, ishakuwa poapoa tu ". Kizazi cha zamani hakikupata shida sana katika hili. Kilisubiri muda muafaka ufike ndipo mtu athubutu kufanya maamuzi ya kuingia katika uhusiano ambapo ndani ya muda mfupi basi ndoa ilichukuwa nafasi. Kizazi cha sasa hivi, kimetawaliwa na tamaa, vijana wanaingia katika uhusiano wakipelekwa na tamaa za kimwili pasipo kutazama umri na madhara ya kukurupukia mapenzi. Matokeo yake sasa, ndiyo pale unapoona vijana wanateseka katika kumpata mke au mume wa maisha. Ukweli ni kwamba, tatiz

ACHA USHAMBA, JIONGEZE! KWA VIGEZO HIVI KWELI ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO?!

Image
NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha nanyi marafiki Jumamosi ya leo. Mungu ni mwema sana ndiyo maana anazidi kutubariki kila kukicha. Tunakutana tena katika darasa letu huru, tunafundishana masuala yahusuyo uhusiano wa mapenzi. Leo nimependa tujadili mada hii ambayo naamini inagusa watu wengi. Wengi wetu tunakubaliana kwamba tumekutana na jambo hili kwa nyakati tofauti.Unampigia simu mpenzi wako hapokei, meseji hajibu na wala hana habari na ujumbe wako lakini ukikutana naye na kumuuliza kama anakupenda anakwambia anakupenda .  Tatizo hili linawapata watu wote lakini mara nyingi zaidi limekuwa likiwatesa wanawake. Wanaume wengi wanapoingia kwenye uhusiano wanakuwa mafundi sana wa kutuma meseji.Tena meseji zile zenye kumfanya mwanamke ajione mwenye thamani ya hali ya juu.  Wanakuwa mahodari wa kuandika maneno matamu, wanapiga simu mara kwa mara. Hicho ndicho kipindi huwa wanapiga simu kuuliza kama wapenzi wao wamekula au wamelala au kuuliza ‘unafanya nini sa hiv

ALICHOKISEMA AY KUHUSU MAHUSIANO YAKE YA SIRI NA MSANII AMANI WA KENYA

Image
  So apparently AY and Amani were an item. And for three long years too! Who knew? The Tanzanian celebrity revealed this to the Standard Digital adding that it was the best relationship he has experienced so far.The Kenyan beauty Amani apparently was quite straightforward and although AY did not state the reason for their break-up, he had nothing but good things to say about his ex-girlfriend. Amani who is set to wed her Nigerian boyfriend must have been very frank with her then boyfriend and fellow artiste, since AY said that his relationship with Amani revealed to him how straight-forward Kenyan women are.He continued to say that at no one time in the three years they were dating did Amani ever mix business with pleasure. Talk about an ex who does not hate. If asked if he was seeing anybody, he said he wasn’t at the moment. So, good news for the ladies; the Tanzanian hunk is up for grabs.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LATANGAZWA

Image
Ikulu imeitisha mkutano wa ghafla na waandishi wa habari muda huu na mkutano huo utaanza ndani ya nusu saa kuanzia sasa. Taarifa zinasema ni kwamba mkutano huu umeitishwa ili kutangaza mabadiliko madogo ya mawaziri na mawaziri hawa wanapaswa kuapishwa kesho kabla ya Rais Kikwete kuondoka kwenda Davos Uswisi kesho hiyo hiyo jioni. Tutakujuza kinachoendelea Ikulu UPDATES: Katibu Mkuu kiongozi anasoma majina ya mawaziri Walio teuliwa 1. George Simbachawene- Waziri Nishati 2.Mary Nagu-Waziri wa Nchi mawasiliano na Uratibu 3.Christopher Chiza-Waziri uwezeshaji na Uwekezaji 4.Halson Mwakyembe-Ushirikiano wa afrika mashariki 5.Lukuvi-Ardhi Nyumba na Makazi 6.Steven Wasira-Kilimo chakula na Ushirika 7.Samwel Sitta -Wizara ya Uchukuzi 8.Jenista Muhagama-Sera na uratibu wa Bunge Mawaziri Kamili George Simbachawene- Waziri wa Nishati na Madini Mary Nagu -Waziri wa nchi Mahusiano na Uratibu Harrison Mwakyembe - Waziri wa Afrika Mashariki. Wiliam Lukuvi - Waziri wa Ar

MWENYEKITI AKATWA KICHWA NA SEHEMU ZA SIRI KISHA KUWEKWA KWENYE SUFURIA MKASA MZIMA

Image
Ni Tukio la kuskitisha sana ktk kijiji cha songambele wilayan MLELE mkoan KATAVI watu wasiofahamika wamemvamia mwenyekiti wa kijiji cha songambele na kisha kutenganisha kichwa na kiwiliwili na pia sehemu zake za siri na kisha kukata mkono wake mara mbili baada ya kufanya kitendo hicho walichukua viungo walivyokata kutoka kwa mwenyekiti huyo na kisha kuvitia kwenye sifuria wakaweka maji na kisha kubandika kwny moto n kuanza kuvipika baada ya Tukio Hilo watu hao walitokomea sehemu isiyofahamika polisi wilayan MLELE wanaendelelea n uchunguz kubaini wahusika wa tukio Hilo. Tukio Hilo limetokea leo majira ya saa saba ucku hayo ndo yaliyojir wilayan kwetu MLELE

RAIS MSTAAFU MWINYI USO KWA USO NA LOWASSA MONDULI

Image
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai,leo Jumamosi,24 January Monduli Mlimani, kata ya Engutoto. Rais mstaafu wa awamu ya pili Al hadji Ali Hassan Mwinyi akizindua moja ya sanamu za kumbukukumbu ya waanzishi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai ambayo imeadhimisha miaka 20 toka kuanzishwa kwake,huko Monduli Mlimani, leo jumamosi 24 January. Mke wa mbunge wa Monduli mama Regina Lowassa akipanda mti wa kumbukumbu ya miaka 20 tokea kuanzishwa kwa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai wilayani Monduli leo jumamosi January 24.Anayeshuhudia ni mumewe Mh Edward Lowassa na mbunge wa Viti maalum(ccm) mkoa wa Arusha Mhe Namelok So

BREAKING NEWS: WAZIRI PROFESA MUHONGO ATANGAZA KUJIUZULU

Image
Waziri wa Nishati na Madini nchini Tanzania Professor Sospeter Muhongo ametangaza rasmi kujiuzuru wadhifa wake hii leo kufuatia kashfa ya akaunti ya Tegera Escrow. Taarifa kamili itawajia hivi punde! Toa maoni yak hapo chini tafadhali!

ALICHOKISEMA ZARI; UTAKUTANA NA KILA AINA YA UBAGUZI WAKATI UKIWA MREMBO NA UNA MAFANIKIO

Image
Zari the Boss Lady continues to lash out to her haters. Below is what she wrote... " When u are beautiful and successful..U experience a different type of 'racism'and it brings jealousy,hate & a new level of people trying to bring u down.... gotta keep that head up! JE,WEWE MDAU WETU UNA MAONI GANI KUHUSIANA KAULI YA BOSS LADY"ZARI"

SISTA WA KANISA KATOLIKI SASA AWA PADRI....HII YATAJWA KUWA IMEVUNJA REKODI

Image
 Pamoja na kwamba sheria za kanisa Katoliki haziruhusu mwanamke kuwa padri lakini mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la  Georgia Walker  amepewa cheo cha upadri katika jimbo la Kansas nchini Marekani,tukio ambalo ni la kwanza kwa kanisa katoliki.   Mwanamke huyo mwenye miaka 67 ambaye awali alikuwa sista alipewa daraja hilo jumamosi iliyopita lakini upadrisho wake uliingia kwenye mzozo baada ya uongozi wa kanisa lake kudai hautambui kuapishwa kwake.     Kutokana na hatua hiyo sista huyo anaweza kutengwa na kanisa kutokana na ukweli kuwa sheria za kanisa zinasema mwanamke hawezi kuwa padri.   Lakini kwa upande wake alipingana nao na kusema haoni sababu za kukataliwa kuwa padri kwani Yesu alifundisha watu wote bila kubagua jinsia wala hadhi zao.   Ibada ya upadrisho iliongozwa na Askofu Bridget Mary Meehan wa Chama cha Mapadri wanawake wa kanisa Katoliki na wakati akipewa upadri hakuonyesha hofu yoyote mbali na tishio lakutengwa na kanisa.

DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, HOSTS NEW YEAR SHERRY PARTY FOR HEADS OF DIPLOMATIC MISSIONS AND INTERNATIONAL ORGANISATIONS

Image
President Dr. Jakaya Mrisho kikwete talks to  heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 STATE HOUSE PHOTOS President Dr. Jakaya Mrisho kikwete addresses heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 President Dr. Jakaya Mrisho kikwete addresses heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 : President Dr. Jakaya Mrisho kikwete in a group photo with heads of diplomatic missions and international organisations during a New Year Sherry Party he hosted on Friday, 9th January, 2015 …………………………………………………………………………………………… Honourable Bernard Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation; Your Excellency Juma Alfan Mpango, Ambassador of the Democratic Republic of Congo and the Dean of the Diplomatic

RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE

Image
 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (katikati) akikabidhi gari jipya la kubebea wagonjwa (Ambulance), kwa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo,Dk. Mastidia Rutaihwa kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Chalinze, katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Chalinze jioni hii. Wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa kituo hicho, Dk. Bamba Victor na Diwani wa Kata ya Bwilingu, Nasa Karama.  Muumini wa Dini ya Kikiristo, Heema Said akitoa neno la shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete 9aliyevaa koti kushoto) alipokabidhi ambulance hiyo. Ridhiwani alisema kuwa yeye hivi sasa ni mbunge wa vyama vyote jimbo humo hivyo ambulance aliyoitoa itoe huduma kwa wakazi wote wa jimbo hilo bila kubagua watu kutokana na itikadi zao. Pia aliuasa uongozi wa kituo hicho cha afya na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuhakikisha wanatunza vizuri gari hilo.  Dok Rtaihwa akimkabidhi ufunguo wa gari hilo Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Cha