Posts

WANAHABARI KUMI, WAFANIKIWA KUINGIA FAINALI YA TUZO ZA HABARI ZA UTALII

Image
Frank Leonard alipopata fursa ya kuzungumza na wanahabari wa Arusha wakati wa ziara ya wanahabri wa Iringa jijini humo Jumla ya Waandishi wa Habari 10 wamefanikiwa kufikia hatua ya fainali ya Tuzo za Uandishi wa Habari za Shirika la Hifadhi za Taifa za mwaka 2013. Wanahabari waliofanikiwa kufika hatua ya fainali ni pamoja na Frank Leonard (Habari Leo), Jackson Kalindimya (Nipashe), Humphrey Mgonja (Radio SAUT FM), Raymond Nyamwihula (Star TV) na Vedasto Msungu (ITV). Wengine ni pamoja na Kakuru Msimu (Star TV), Gerald Kitabu (The Guardian), Salome Kitomari (Nipashe), David Rwenyagira (Radio 5) na Cassius Mdami (Channel Ten). Hafla ya utoaji Tuzo za Habari za TANAPA itafanyika siku ya Jumanne tarehe 27 Mei, 2014 jijini Mwanza ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu. Hafla hii itaenda pamoja na Mkutano wa kila mwaka baina ya TANAPA na Wahariri wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini inay

JK.ASHUHUDIA RAIS ZUMA AKILA KIAPO KUIONGOZA AFRIKA KUSINI KWA MARA NYINGINE.

Image
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014   Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini leo Mei 24, 2014 Rais Jacob Zuma akila kiapo katika Nelson Mandela Amphitheater katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria wakati wa sherehe za kuapishwa kwake  leo Mei 24, 2014

HARUSI YA MBUNGE MAARUFU WA VITI MAALUM CCM VICKIE KAMATA YAAHIRISHWA LEO MARA BAADA YAKUUGUA GHAFLA NA KULAZWA

Image
Mbunge Vicky Kamata akiwa amelazwa Hospitali ya Tabata General, Dar es Salaam jana Dodoma/Dar es Salaam. Ni matukio nadra kutokea katika maisha, lakini haya ndiyo yaliyomkuta Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata, baada ya kuugua ghafla saa 36 kabla ya harusi yake.   Kuugua kwa bibi harusi huyo mtarajiwa, kumezua gumzo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma na maeneo mengine nchini, kutokana na kile kilichoelezwa kwamba harusi hiyo ilipangwa kuwa ya kifahari ikitarajiwa kutumia Sh96 milioni. Kamata ilikuwa afunge ndoa leo katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Mkombozi, Sinza Dar es Salaam na tayari kadi za mialiko zilishasambazwa kwa watu mbalimbali wakiwamo wabunge.   Habari za kuugua ghafla kwa mbunge huyo ambaye pia ni msanii wa muziki aliyetamba na kibao chake cha ‘Wanawake na Maendeleo’ zilianza kuzagaa kwa kasi juzi jioni nchini.  Kamata ambaye pia ni mtetezi wa haki za wa

FAIDA 17 UNAZOPATA PALE UNAPOJAMIANA na MWENZI WAKO

Image
Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana  katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule.  Lakini, kuna faida zozote za kiafya za kufanya tendo hili? Ndiyo! Zipo faida kadhaa zinazotokana na kujamiana. Katika makala hii, mwandishi wako Dk. Khamis Hassan anajaribu kutueleza faida za kujamiana kiafya kama ambavyo imewahi kuonekana katika tafiti kadhaa zilizofanyika sehemu mbalimbali duniani.   1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo: Wanawake ambao hufika kilele (orgasm) angalau mara mbili kwa wiki kila wanapojamiana, wana uwezekano mdogo sana (30% tu) wa kupata maradhi ya moyo tofauti na wale wasiofikia kilele.  Hii ni kwa vile homoni ya endorphin inayotolewa wakati wa kujamiana hupunguza msongo wa mawazo na hivyo kumuepusha mtu na magonjwa wa moyo. Aidha kujamiana angalau mara ta

ANGALIA PICHA BIBI MCHAWI CHADONDOKA BAADA YA KUCHOKA KUPAA

Image
Haya maajabu kweli! Huyu mzee alidondoka toka juu baada ya kuchoka kuruka kama ndege. Mtu mmoja aitwaye  Chike ametoa ushahidi kwamba  aliona  ndege watatu wakipaa angani na baada ya muda wawili wakaanza kupigana kitu kilichopelekea ndegwe mmoja kudondoka na kubadilika kikongwe um wonae hapa juu. Chike anasema mzee huyo aliumia sana baada ya kudondoka kwani mkono wake mmoja wa mbele uligusa waya wa umeme akiwa anadondoka. Baada ya mzee huyo kukamatwa na watu wenye hasira kali aliweza kukukiri kwamba yeye ni mchawi na alikuwa na wenzake ambao walimwacha baada ya yeye kudondoka ,anasema walikuwa mkutanoni nchini Nigeria na walipomaliza walianza safari kurudi makwao.Kikongwe huyu alisema safari yakurudi haikufanikiwa kwani usiku mzima walijikuta wanazunguka Lagosi, na anasema alidondoka kwasababu alichoka kuruka

MSANII WA FILAMU NISHA NA DIRECTOR WAKE KABUTI ONYANGO WATOA NAFASI KWA WATU WANAOTAKA KUFANYA NAO KAZI

Image
Salma Jabu Nisha Hatimae wasanii wafurika ofisini kwa salma jabu nisha kutaka kufanya kazi na kampuni yake baada ya kuona ni kampuni yenye mafanikio makubwa katika hii tasnia yaani tangu kampuni yake ianze kufanya kazi za filamu imefanikiwa sana anasema yupo tayari kufanya kazi kwa makubaliano na anavifaa vya kisasa kabisa na hawezi kukuangusha ukifanya nae kazi kwenye kampuni yake ya nishas film production na sasa inakuja na ZENA NA BETINA awaambia wakae mkao wa kula yeye yupo kibiashara zaidi na si kivingine,   Director Na Camera Man wa Nishas Film Kabuti akiwa Location Unaweza kuwasilia na camera man wake and director kabuti onyango kwa mawasiliano nao 0716026089 utapata production iliyo bora kwa vifaa bora kutoka kwa nisha film production.

ANGALIA PICHA BIBI WA MIAKA 65 AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE

Image
  H uyu ni mzee, lakini tumeshangaa kuona bado ana nguvu za kutosha na tulishangaa baada ya kutoa kete 20 kwa mara moja katika awamu ya kwanza, jambo hili si rahisi kutokana na umri wake,”. Bibi mmoja raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) amevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).  Cole alikamatwa Jumatatu akiwa amemeza kete 82 aina ya heroini zilizokuwa zimefungwa kwenye karatasi zinazofanana na ganda la sigara, ambazo si rahisi kuonekana katika mitambo. Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na Mkuu wa Kitengo cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Alfred Nzowa zimesema pamoja na mbinu zake na kujiamini, mwanamke huyo alikamatwa kutokana na ushirikiano wa vitengo mbalimbali vya uwanja wa ndege.  Kamanda wa Polisi wa Uwanja wa Ndege, Hamisi Selemani alisema mwanamke huyo alikamatwa Mei 19, mwaka huu saa tisa alasiri akijiandaa kwenda Paris, Ufaransa kwa ndege ya Shirika l

Fisi alazimika kujificha ndani ya tumbo la mzoga wa tembo baada ya kuvamiwa na simba

Image
 Na   Stratton Hatfield Katika kujiokoa kwenye hatari yeyote ile si tu watu ambao wanaweza kupata wazo la ajabu la kutenda ilimradi tu kuepukana na mauti, fisi mmoja aliyekuwa katika lishe yake alijikuta katika wakati mgumu baada ya kulazimika kujificha kwenye tumbo la mzogo wa tembo ili kumkwepa simba dume aliyemvamia ghafla. Fisi huyo aliyaona mauti yaleeeeee, lakini aliona ni heri kukaa ndani ya tumbo la tembo kulikoni kuliwa na simba. picha zifuatazo zinaonyesha namna fisi huyo alivyojificha na baadae kufanikiwa kukimbia baada ya kupata upenyo. Tukio hilo halijatokea mbali bali ni kule Masai Mara, pata uhondo huo..   

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA BANK OF TANZANIA (BOT)

Image
The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant positions at its Headquarters, Dar es Salaam. Position: MECHANICAL TECHNICIAN GRADE III: –1 POST  Reports to: Head of Division.  Terms of Contract: Contract for an Unspecified Period of Time.  Location: Head Office – Facilities Management Department.  Job purpose:  To maintain and ensure safety of mechanical systems and equipment at all time.  Primary Duties and Responsibilities:  a) Making Periodical inspections on installations at the Bank premises to identify areas that need attention;  b) Carrying out maintenance and repair services of the Bank buildings, machinery and equipment;  c) Preparing requisitions for spare parts and consumable components to ensure that repairs are undertaken as per specifications;  d) Performing annual preventive maintenance

WASTARA, CLOUD WAZURU MAKABURI YA WASANII WENZAO

Image
Cloud, Mtitu, Wastara, Steve Nyerere, Barafu na Chiki katika kaburi la Adam Kuambiana. Wastara akilia kwa uchungu.   Wastara na timu yake wakiweka mashada katika kaburi la Kuambiana.    Kaburi la marehemu Adam Kuambiana.   Wasanii katika kaburi la Steven Kanumba.   Wasanii pia walitembelea kaburi la msanii mwenzao John Maganga. Mwisho kabisa wasanii walitembelea kaburi la Zuhura Maftah Malisa. WASANII wa Bongo Movie Unity ambao hawakuwepo katika msiba wa Adam Kuambiana wakiwa nchini Uingereza, Issa Mussa ‘Cloud’ na Wastara Juma leo wamezuru kaburi Kuambiana pamoja na makaburi ya wasanii wengine ambao tayari walishatangulia mbele ya haki akiwemo John Maganga, Steven Kanumba na Zuhura Maftah Malisa. Wakizungumza na waandishi wetu, wasanii hao wamesema kuwa ni jambo la kumshukuru Mungu lakini watazidi kuwaombea wale wote waliotangulia kwa kuwa wote wako katika njia moja.