Posts

Some girls in Ghana has taken the azonto craze to a new level

Image
Some girls in Ghana has taken the azonto craze to a new level, they now have the adult version and they dance it without wearing anything.Over the last few years, no single dance has dominated the Ghanaian landscape than the phenomenal Azonto dance. Not only has the dance dominated the night clubs, parties, beach sessions, social events and even church auditoriums but has also gained international recognition not only on the African continent but across the world. It is also the toast of both the young and old.Just last week, popular football star tweeted: “I love this dance called the #Azonto” and shared the link to a viral YouTube video with a white boy dancing Azonto on the streets of central London with Sarkodie’s ‘U Go Kill Me’ in the background whilst rapper Snoop Dogg was also captured on tape doing the dance. The Azonto craze has made waves around the world to the extent that legal experts in the entertainment industry have called on Ghana to patent, bra

Haya mavazi ya huyu mwalimo kiboko, utamu nje nje

Image
  HAPA INAKUAJE,MWANAFUNZI ATAELEWA KWELI JAMANI?!! Siku zote ukijiheshimu utaheshimiwa, kujiheshimu huko ni pamoja na mavazi tunayovaa jamani.....sasa imagine mwalimu anavaa  mavazi kama haya ...wanafunzi wataelewa kweli?? ukizingatia kizazi hiki cha google...Tubadilike jamani !!

LAANA:MSANII MKUBWA KENYA "AVRIL" ANASWA AKIFANYA UCHAFU (AKISAGANA)...AGALIA PICHA UJIONEE...TAFADHALI PICHA HIZI NI KWA WAKUBWA TU

Image
Kenyan musician Avril Nyambura lesbian sex photos leak (18+) The 'Kitu Kimoja' hit singer Avril Nyambura made news after her unclad pictures circulated on the internet. The artist was not as popular as she is now. Many believe that she leaked them in a bid to create publicity . Avril claimed that the images were photoshopped by a malicious individual. At the time, the musician was involved in a fling with Dj Crème de la crème who was engaged to his beautiful fiancée . If you didn't get a chance to see the famous pictures , here they are:  sourece: rahatamtam

DENTI AONA BOOK GUMU AMUA KUACHIA PICHA YAKE YA UTUPU

Image
denti kajichokea kaona bora afanye kweli...hajakosea sana biashara matangazo

POMBE SIO MAJI YAMUHUMBUA MWANADADA HUYU MARA BAADA YA KUJITWIKA KUPITA KIASI

Image
Hizi ni picha zinazo muonesha Mwanadada mrembo  in the name of partying  toka anapoingia hadi ku- black out aka KUZIMA......Jionee mwenyewe....POMBE NOUMA.... Hapa anaingia batani Hapa ndio anaanza kuona chengachenga Ohoh..Kaanza kukiss nyasiii Daaah Kaanguka Hapa ndio kazima kabisa Dadayetu

ANGALIA NAFASI MPYA YA KAZI KUTOKA KCB BANK

Image
KCB BANK VACANCIES  KCB is renowned for its diversity and growth in the Region is currently strengthening its support for group operations and business with the aim of maintaining Best Practice whilst also responding to the growing Business needs to support internal and external Customer Service delivery objectives and increase shareholder value. To this end the following challenging positions have arisen and candidates with the requisite competencies and qualifications described below are hereby encouraged to apply. SENIOR RECOVERY MANAGER CREDIT ANALYST- CONSUMER CREDIT UNIT SALES MANAGER CARD SALES MANAGER SENIOR RECOVERY MANAGER SENIOR RECOVERY MANAGER Reporting to the Head Credit Support Unit, this position will be responsible for reducing non performing retail loans and overdrafts through, direct recovery, restructuring and upgrades. Key responsibilities Formulate recovery strategies for non performing Retail, SME & Specia

RAIS BARACK OBAMA AKUTANA NA PAPA FRANCIS KWA MARA YA KWANZA VATICAN

Image
Rais wa Marekani,  Barack Obama akiwasiri Vatican kwa ajili ya mazungumzo na Papa Francis kwenye mji wa Vatican jana march 27, 2014.     Rais wa Marekani, Barack Obama akisalimiana na viongozi mbalimbali alipowasili Vatican   Rais wa Marekani, Barack Obamaakisalimiana na mmoja wa padri Georg Ganswein alipowasili Vatican  Papa Francis akutana na Obama Rais Obama ameelezea furaha yake ya kukutana na papa mtu ambaye kulingana naye anaishi na kutenda kulingana na injili anayoihubiri. Maswala mbali mbali yenye umuhimu wa kimataifa pamoja na kidini huenda yakajadiliwa katika mkutano huo. Wawili hao wanatarajiwa kujadili namna ya kupunguza tofauti iliyopo kati yao katika maswala mengi mbali na kujaribu kuinua maisha ya watu maskini duniani. Papa Francis amekuwa mstari wa mbele akipigania kubadili sera na mtazamo wa Kanisa na viongozi duniani kuhusiana na mikakati ya kupunguza tofauti kubwa baina ya maskini na matajiri duni

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA SHIRIKA LA UTANGAZAJI BBC

Image
Senior Mentor Job at BBC Media Action Tanzania Location: Tanzania Reports to: Niambie Project Manager Contract duration: 12 months (with possible extension) Application instructions: Candidates should send their CV and a covering letter (PDF or Microsoft Word format) which outlines their experience and suitability for the role in English to tzrecruitment@tz.bbcmediaaction.org. The name of the position applied for should be included in the subject line of the email. Please do not send certificates or other attachments. Applicants with no separate covering letter will not be considered. Please only apply if you meet the basic criteria under the person specification. This is a local post applicable to people who have the legal right to live and work in Tanzania. 'National terms and conditions will apply'. Only shortlisted candidates will be notified. Application deadline: Thursday 10 April 2014 Job purpose: To lead the capacity-building of var

ANGALIA PICHA MWALIMU ABAMBWA AKIJIUZA,ASEMA MSHAHARA MDOGO

Image
Mwalimu akiwa ameduwaa baada ya kunaswa kwenye sakata hilo.   Wakati Wakristo bado wapo kwenye Kwaresma, mama aliyejitambulisha kuwa ni mwalimu wa shule ya msingi, amenaswa laivu akijiuza maeneo ya Mbagala-Zakhem jijini Dar . Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Machi 24, mwaka huu ambapo awali, wakazi wa eneo hilo waliwatonya mapaparazi wa Operesheni Fichua Maovu (OFM) kuwa kuna danguro kubwa maeneo ya Kizuiani ambalo limesheheni madadapoa wa kila aina wakiwemo mabinti wadogo. Chanzo hicho kilimwaga data kuwa, kuna mzee maarufu kwa jina la babu katika eneo hilo ambaye amekuwa akiwapa machangudoa hifadhi katika banda lake na kuwapa magodoro chakavu kwa malipo ya shilingi elfu moja kwa kila kichwa. KISIKIE CHANZO “Jamani kwenye danguro hili kila aina ya uchafu upo. Wanatukwaza sisi Wakristo ambao tupo katika kipindi hiki cha Kwaresma,” kilitiririka chanzo hicho cha kuaminika maeneo hayo. OFM KAZINI Ili kujiridhisha na taarifa hizo, makamanda wawili wa OF

HIZI NI DALILI ZA MWANAMKE MJAMZITO

Image
Mwanamke anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanza kuuchunguza mwili wake.  Inaonesha kuwa homoni zinazosambaa mwilini mara tu unapopata ujauzito husababisha mabadiliko kadhaa katika mwili wake ambayo yanaweza kugundulika kabla hata ya uchunguzi halisi wa kujua kama mjauzito au la.  1. Maumivu kwenye matiti. Hii ni dalili ya kawaida ya ujauzito ambapo nguvu za homoni mwilini huongezeka wakati yai linavyopata “rutuba”, jambo ambalo huongeza wingi wa damu na kuyafanya matiti ya mwanamke kuvimba na kuwa makubwa isivyo kawaida.  2. Maumivu mwilini Baadhi ya wznawake wanajisikia maumivu kama vile wanataka kuingia katika siku zao. Kwa kawaida hali hii hutokea wakati yai likiwa linasafiri kwenda katika chumba cha mimba. Hivyo, hali hiyo husababisha sehemu hiyo itanuke taratibu na kusababisha maumivu hayo.  3. Kutokwa damu bila kutegemea Wanawake wengi hu

MAMBO 39 YANAYOVUNJA MAHUSIANO YA KIMAPENZI AU NDOA.

Image
1. Kutokuwa na mawasiliano ya karibu na mwenzi wako. 2. Kutojali maumivu ya mwenzi wako. 3. Ubishi usiokuwa na maana. 4. Kupenda kujihesabia haki. 5. Kutokubali makosa. 6. Kutokuwa na roho ya msamaha. 7. Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako. 8. Usaliti wa mapenzi. 9. Kuigiza kupenda. 10. Kutomheshimu mwenzi wako. 11. Kuwa mjuaji kila kitu unajifanya unajua. 12. Kutokutambua uthamani wa mwenzi wako katika maisha yako. 13. Kuwa na jeuri. 14. Kutokuwa na kifua cha kuficha mambo ya nyumbani. [chumbani] 15. Kuto kujali watu wa nyumbani kwako [ndugu,watoto n.k] 16. Kujiamulia kufanya vitu bila ushauri wa pamoja. 17. Kutokuwa na faraja na mwenzi wako [kutokujua jinsi ya kumfariji mwenzi wako] 18. Kutomridhisha mwenzi wako kimapenzi. 19. Kuwa na amri kwa mwenzi wako hata kwa mambo yasiyokuwa na maana au malengo katika maisha yenu. 20. Ugomvi wa muda mrefu usiokuwa na suluhu. 21. Kuwa na ahadi za uongo. 22. Kumdhalilisha mwenzi wako mbele za watu. 23. Kupenda starehe

TUNDULISU AZUA BALAA BUNGE LA KATIBA SOMA HAPA

Image
Kikao cha UKAWA ambacho pamoja na mambo mengine Kiongozi wa umoja huo Freeman Mbowe alitoa hoja ya wajumbe wa bunge la katiba kurudi makwao na kuendelea na shughuli nyingine za kuwashawishi watanzania wote huko majimboni wakawahamasishe umma kuikataa katiba ambayo imevamiwa na chama kimoja cha CCM  Hoja  ambayo iliungwa mkono na idadi kubwa ya wajumbe katika kikao hicho huku wengine wakitaka ile jana wengine wakitaka waondoke leo asubuhi baada ya kushiriki katika session ya asubuhi na baada ya kiapo watu watimke mle ndani lakini baada ya majadiliano mengi na hoja hiyo kuchangiwa lilikuja wazo la Tundulisu ambalo limejigawa katika sehemu tano(5) muhimu ambapo alisema: (1)Tusivunje bunge kwa hoja dhaifu ila tuvunje bunge kwa hoja nzito hata tukiwaeleza watanzania watufahamu lakini isiwe hatukuchaguliwa katika kamati ya uongozi sababu hiyo tu itufanye tuvunje bunge watanzania watatuona tuna uroho wa madaraka. (2) Alisema Kwa nini tujitoe katika utungwaji wa katiba

WANAFUNZI WA MWENGE WASHIKILIWA NA POLISI KWA KOSA LA UBAKAJI

Image
Katika jambo ambalo limevuta hisia za wanafunzi wengi na walimu wa Chuo cha Mwenge ni Tukio lililotokea leo Majira ya Jioni hii katika Chuo cha Mwenge kilichopo Moshi. Kwa Mujibu wa mzazi wa watoto wanaotuhumiwa kubakwa aitwaye Redenta Boniface Tarimo alieleza tukio zima kuwa siku ya ijumaa majira ya Jioni Binti yake aitwaye Modesta Boniface Tarimo mwenye umri wa miaka 15 na ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Maki Sekondari iliyoko Olele huko Marangu Kitowo alitoweka nyumbani Huko Marangu Kitowo akiwa na mwenzake aliyetambulika kwa jina la Kresta A. Mroso mwenye umri wa Miaka kumi na sita na hawakuweza kuonekana mpaka jumapili jioni. Baada ya kuonekana ndipo walipobanwa na kusema walikua Moshi mjini kwa Mwanaume ambaye alikua ni mwalimu wao shuleni na anasoma chuo cha Mwenge. Afisa wa Polisi anayeshughulikia Dawati la Jinsia na Watoto Afande Kasusura akiwa amemkamata Mtuhumiwa mmoja aitwaye Majaliwa nje ya chuo cha Mwenge. Baada ya maelezo ya

BONGO MOVIE WATOA MSAADA HOSPITALI MWANANYAMALA

Image
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabibo Beer ambao ni wauzaji wa vinywaji vya Windhoek na Climax, Mama Benadetha Rugemalila akikabidhi baadhi ya misaada kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Bw Kariamel Wandi wakati Kampuni ya Mabibo Beer wakishirikiana na Wasanii wa Bongo movie walipotembelea Hospitali ya Mwanyamala ikiwa wanaadhimisha miaka mitatu ya Kuanzishwa kwa Klabu ya Bongo Movie. Wasanii wa Bongo Movie wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi mkuu wa Mabibo beer na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala mara baada ya wasanii wa bongo movie na Kampuni ya Bia ya Mabibo kutembelea na kukabidhi misaada katika hospitali ya Mwananyamala mapema leo.  Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalila(kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi misaada katika Hospitali ya Mwananyamala leo, Katikati ni Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Bw Kariamel Wandi na Mwenyekiti wa Klabu ya Bong