Posts

JAMAA WA ABIRIA WA MH370 WAKABILIANA NA POLISI

Image
Familia za abiria wa ndege iliyotoweka ya Malaysia wakiandamana wakiwa wamebeba mabango. Polisi wakiwa tayari kuwatuliza wana familia waliopotelewa na ndugu zao. Mkusanyiko wana familia za abilia wa ndege iliyotoweka ya Malaysia wakiendelea na maandamano. Polisi wakiwatuliza wana familia wenye hasira kali. Familia za abiria wa ndege iliyotoweka ya Malaysia majuma mawili yaliyopita, wamekabiliana na polisi nje ya ubalozi wa Malaysia mjini Beijing. Wakiwa wamejawa na ghadhabu, wamelitaka shirika la ndege ya taifa hilo mjini Kuala Lumpur kueleza kilIchofanyika. Jamaa hao walibeba mabango yenye maandishi "Save MH370" jamaa hao wenye hasira walikabiliana na polisi na kuwalemea hadi kuingia katika ofisi ya ubalozi huo. Walifoka wakisema ..''Tunataka ukweli." hii ni ishara ya hasira na mafadhaiko wanayopitIa jamaa hao wa watu waliopotea. Kero la jamaa hao limekuja baada ya waziri mkuu wa Malaysia, Najib Razak kusema udadisi

ANGALIA NAFASI ZA KAZI KUTOKA KWENYE MASHIRIKA NA MAKAMPUNI MBALIMBALI

Image

CHANGAMKIA NAFASI YA SCHOLARSHIP KUTOKA MAREKANI

Image
Fulbright Scholarship Program for Tanzanian Students The Embassy of the United States in Dar es Salaam has announced the 2015-2016 Fulbright Junior Staff Development Program for Tanzanian citizens. Financial assistance will be provided for a maximum of two years of study. Applicants can pursue graduate degree in a U.S. university or take participation in a non-degree research or nonacademic professional program. The JSD program is open to any qualified candidate but strongly encourages the inclusion of female candidates and prefers candidates who have not had extensive recent experience in the United States. The application deadline is May 1, 2014. Study Subject (s): Applicants can pursue program in their chosen field of study. Course Level: Scholarship is available for pursing graduate degree or for participation in a non-degree research or nonacademic professional program. Scholarship Provider: US Federal Government Scholarship can be taken at: Unite

BASATA latangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za KTMA 2014

Image
Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA, Godfrey L. Mngereza (katikati) akiongea na waandishi wa habari Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) leo limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi wa vipengele 34 vya tuzo za muziki Tanzania. Akiongea na waandishi wa habari, Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA, Godfrey L. Mngereza amesema zaidi ya mapendekezo 30,000 yalitumwa kwa njia ya sms na mtandaoni. Hata hivyo alidai kuwa nyimbo ‘Uzuri Wako’ ya Jux, Nimevurugwa ya Snura na Tema Mate Tuwachape ya Madee zimeondolewa kwenye mchakato huo kwa madai kuwa zimevunja maadili na hazifai kwa jamii ya Kitanzania. Upigaji kura utaanza Aprili 1 hadi tarehe 31 Aprili na tuzo zitafanyika May 3 kwenye ukumbi wa Mlimani City. Haya ndio majina ya washiriki kwenye tuzo hizo. Wimbo Bora wa mwaka Number One – Diamond Joto Hasira – Jaydee I love u – Cassim Yahaya – Lady Jaydee Kidela – Abdul Kiba Muziki Gani – Nay wa Mitego Wimbo bora wa Kiswahili – Band  Us

BREAKING NEWS: MKUU WA MKOA WA MARA GABRIEL TUPA AFARIKI DUNIA GHAFLA

Image
BREAKING NEWS: MKUU wa Mara Bw John Gabriel Tuppa, amefariki dunia ghafla leo majira ya saa 4.30 asbuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara. Katibu tawala wa mkoa wa Mara Bw Benedict Ole Kuyan, amesema kuwa Bw. Tuppa kabla ya kifo chake leo asubuhi akiwa na afya njema alifika katika ofisi ya za mkoa na kumuaga kuwa anakwenda kufunga mafun zo ya mgambo katika kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime. Amesema kuwa muda mfupi baada ya kufika katika ofisi ya mkuu wa wilaya, alipatwa na tatizo la ugonjwa huo na muda mfupi alikimbizwa hospitali ya Tarime lakini alifariki wakati akipatiwa matibabu. Katibu tawala huyo amesema mwili wa marehemu unasafarishwa kutoka Tarime kuja hospitali ya Musoma kwa ajili ya kuhifadhiwa wakati taratibu nyingine na maelekezo ya kiserikali yakisubiriwa kutolewa

PICHA ZA MUONEKANO MPYA WA JAQUELINE WOLPER.,,,JIONEE MWNYEWE HAPA...

Image
Huyu ni Mrembo anayetikisa katika Tasnia ya Filamu Tanzania, Picha hihi zikionyesha nijinsi gani Mipedgee ya mjini ikipigana vikumbo kila siku kwaajili ya KUMPATA mrembo huyu.  pamoja na hay o msanii huyu ni moja ya wasanii wenye uwezo mkubwa wa kufedha kwani Jaqcieline anatembelea magari ya kifahari sana.

Probe into mystery call to captain of doomed jet: Unknown woman used a fake ID when buying phone to bypass security checks

Image
Family man: Captain Zaharie Ahmad Shah with his wife Faizah Khan and two of their three children The captain of missing Malaysia Airlines flight MH370 received a two-minute call shortly before take-off from a mystery woman using a mobile phone number obtained under a false identity. It was one of the last calls made to or from the mobile of Captain Zaharie Ahmad Shah in the hours before his Boeing 777 left Kuala Lumpur 16 days ago. Investigators are treating it as potentially significant because anyone buying a pay-as-you-go SIM card in Malaysia has to fill out a form giving their identity card or passport number. Hunt: The mystery object in a Chinese satellite image, inset, some 80 miles from the previous search zone Introduced as an anti-terrorism measure following 9/11, this ensures that every number is registered to a traceable person. But in this case police traced the number to a shop selling SIM cards in Kuala Lumpur. They found that it had bee

UTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA-NI KWELI AIR MALAYSIA ILIANGUKA INDIAN OCEAN NA HAKUNA ALIYE PONA

Image
Baada ya ndege ya Air Malaysia kupotea Mtabiri TB Joshua Alisema Kuwa Ndege hiyo itakuwa imeanguka Kwenye Bahari ya Hindi na Hakuna Aliyepona ,,,Utabiri huo kwa wengi ulichukuliwa kama mzaha lakini leo imedhihirika tena kwa mara nyingine kuwa utabiri wake ni wa Kweli , kwani imethibitika kuwa ndege hiyo ilianguka kwenye bahari hiyo na hakuna aliye pona...

UTUMISHI WA UMMA KUANDAA PROGRAMU YA ELIMU KWA UMMA ILI KUTIMIZA VIGEZO VYA UOMBAJI WA AJIRA

Image
Afisa habari Mwandamizi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma Bi Riziki Abrahamu akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya nakala ya maombi ya ajira isiyokidhi vigezo hali inayosababisha waombaji wengi wenye sifa kushindwa kupata ajira Serikalini. Kulia ni Afisa Habari Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi na kushoto ni  Afisa Udhibiti na Ubora  wa Sekretarieti hiyo  bw. Chistopher  Liganga. Afisa habari Mwandamizi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma Bi Riziki Abrahamu akiwaeleza  waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam  kuhusu  waombaji kazi kujiandaa vyema ili kukidhi vigezo  vya usaili, na kushoto ni  Afisa Udhibiti na Ubora  wa Sekretarieti hiyo  bw. Chistopher  Liganga. ………………………………………………………………………… Frank Mvungi-Maelezo Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuandaa programu ya Elimu kwa umma ili kuwawezesha waombaji wa kazi kuweza kutimiza vigezo vinavyohitajika ili kujiweka katika na

ANGALIA PICHA TUKIO LA KUTISHA SAME MKOANI KILIMANJARO, ACHARANGWA VIWEMBE USONI

Image
DADA huyu mkazi wa Same mkoani Kilimanjaro alijeruhiwa vibaya sehemu za usoni na kitu chenye ncha kali kikihisiwa kuwa ni kiwembe,   Tukio hilo lilijiri siku ya Jumapili Wiki iliyopita,   Chanzo cha habari kilieleza kuwa ugomvi ulisababishwa na wivu wa mapenzi.   Chanzo hakikutaja jina laDada huyu wala mtuhumiwa mpaka sasa Dada huyu yupo Hospitali ya wilaya Same. Taarifa zaidi endelea kufatilia hapa.

WENYEVITI WA KAMATI MPYA ZA BUNGE LA KATIBA WALIOCHAGULIWA

Image
Wenyeviti wa kamati za bunge waliochaguliwa hawa hapa: 1. Hamad Rashid 2: Christopher ole sendeka 3: Shamsi vuai nahodha 4: Anna Abdallah 5: Job Ndugai 6: Anna Kilango malecela Kamati Namba Moja:  Mwenyekiti ni Ummy Mwalimu, Makamu Mwenyekiti ni Profesa Makame Mnyaa Mbarawa. Kamati Namba Mbili:  Mwenyekiti ni Shamshi Vuai Nahodha, Makamu Mwenyekiti ni Shamsha Mwangunga. Kamati namba tatu:  M/kiti ni Francis Michael, Makamu ni Fatma Musa Juma. Kamati namba nne:  Mwenyekiti ni Christopher ole Sendeka na Makamu ni Dk. Sita Mamboya. Kamati namba tano:  Mwenyekiti ni Hamad Rashid Mohamed na Makamu ni Assumpter Mshama Kamati namba sita:  Mwenyekiti ni Stephen Wassira na Makamu ni Dk. Maua Dftari. Kamati namba saba:  Mwenyekiti ni Brigedia Jenerali (mstaafu) Hassan Ngwilizi na Makamu ni Waride Bakar Jabu. Kamati namba nane:  Mwenyekiti ni Job Ndugai, Makamu ni Biubwa Yahya Othman. Kamati namba tisa:  Mwenyekiti ni Kidawa

ANGALIA PICHA KIJANA AUAWA KWA MAWE NA KISHA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUIBA PIKIPIKI WILAYANI KAHAMA

Image
Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25-30 ameuawa kwa kupigwa mawe kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kukamatwa na pikipiki ya wizi Katika kijiji cha kagongwa Wilayani Kahama mkoani Shinyanga.   Tukio hilo limetokea jana majira ya saa nane Mchana mara baada ya marehemu kuiba Pikipiki hiyo yenye no T634 CNK Aina ya SanLG mali ya Patrick Seba mkazi wa Nyahanga Mjini Kahama ambayo imeibiwa jana Asubuhi Maeneo ya shule ya Kahama Musilim ikiwa imeegeshwa na dereva wake aitwaye Shija Zacharia. Kwa mujibu wa Mmiliki wa pikipiki hiyo Bwana Seba Ameiambia redio Kahama fm Kuwa alipewa taarifa na dereva wake ambpo aliamua kutoa tarifa ya upoteza pikipiki hiyo kwa waendesha bodaboda wa mjini Kahama na Kagongwa.  Amesema wakati anatoka Kagongwa kutoa taarifa ndipo akakutana na vijana wawili ambao walikuwa wanaiendesha pikipiki hiyo kuelekea Kagongwa ambapo aliamua kuwafuatilia na kwamba aliwapata katika kijiji hicho. 

MEZA YETU YA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 25.03.2014

Image
MAGAZETI YA UDAKU LEO MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI