Posts

ANGALIA MAJINA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14

Image
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA  MITAA (OWM - TAMISEMI) AJIRA MPYA YA WALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA  MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14.  A: OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA  YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA  IFUATAVYO:-  i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928  ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416  iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677  Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za  vyuo vyaualimu Tanzania Bara.  B: Kila Mwalimu ( Ajirampya) atatakiwakuzingatiayafuatayo:-  1. Kuripoti  tarehe01/04/2014kwenyeofisizaWakurugenziwaHalmashaurikwaajili yakupangiwa vituo vya kazi na kuanza kazi. 2. Mwalimu atatakiwa kuwa na vyeti vyake halisi vyachuonaSekondari  3. WalimuambaoniwaajiriwawaSerikaliwaliokuwawanajiendelezakieli muwanatakiwakurudikwawaajiriwaoilikuendeleanakazi

ANGALIA AJIRA MPYA KUTOKA JESHI LA POLISI

Image
TANGAZO LA AJIRA JESHI LA POLISI ,MACHI 2014 KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KWA WAHITIMU WATARAJIWA WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 Katika mwaka wa fedha 2014/2015 Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014 na kidato cha nne mwaka 2013. Ili kutekeleza azma hii tumeweka fomu kwenye tovuti ambayo wahitimu watarajiwa wa kidato cha sita wa mwaka 2014 watajaza kabla ya kufanya mitihani yao ya kumaliza kidato cha sita. Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao watazirejeshe kwa Makamada wa Polisi wa mikoa kabla ya tarehe 17.03.2014. Wahitimu wa kidato cha nne wasijaze fomu hizi walishajaza kupitia “selform” walizojaza walipokuwa shuleni.  MASHARTI KWA MWOMBAJI: 1.Mwombaji anatakiwa ajaze fomu hii kikamilifu na abandike picha yake “Passport Size” kwenye fomu kisha akabidhi kwa Mkuu wa Shule kwa hatua zaidi. 2.Kila mwombaji aandike namba ya simu kwa usahihi na anuani yake ya kudumu ambayo itatumika wakati wa

ANGALIA PICHA ZA NYUMBA YA KAPTENI WA NDEGE YA MALYSIA ILIYOPOTEA NA ABIRIA 227 POLISI WAIFUNGA NA WANAFANYA UCHUNGUZI

Image
Compound: A view of the entrance to Zaharie Ahmad's residence. Police have been stationed outside for the last week Officers are said to have spent two hours searching the pilot's home today inside the luxury compound Luxury: Shah is said to live at the property with his wife Faisa In Shah's house a flight simulator has been set up and is understood to have interested police following up one line of investigation - that he had used the equipment to practice making his real-life Boeing 777 ‘invisible’ by turning off all communications. Today, a police van with a large contingent of officers inside passed through a security gate at the entrance to the wealthy compound where father-of-three Captain Zaharie Ahmad Shah lives with his wife Faisa. Four plain-clothed police officers were also, reportedly, seen at the home of the other pilot Fariq Abdul Hamid, 27. Both pilots live in the upmarket Kuala Lumpur district of Laman Seri, abou

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA AIRTEL

Image
Vacancies at Airtel Tanzania ,  Airtel is the 4th largest telecoms Company in the world.  In Africa, Airtel has over 42 million customers and aims to attract more than 100 million customers across the continent by 2013.  Airtel Tanzania is a dynamic company that offers excellent career paths for talented and motivated people. We are looking for suitably qualified candidates to fill the following positions:- Position Title: Senior  Network Optimization and Quality Engineer Reporting To: Network Optimization & Quality Manager  Location: HQ, DSM Job Purpose: Optimization of the in-country 3G network for Airtel Tanzania, in conjunction with the Strategic Partners to meet the Key Performance Indicators (KPIs) Key Accountabilities: Monitor 2G/3G Network Quality parameters and  recommend on Key Performance Indicators (KPI’s) Perform and process drive tests log files and Layer 3 analysis and produce a report with optimization recommendations to improve