Posts

DINI YA AJABU YAIBUKA KIGOMA,YAKAZA WATU KWENDA SHULE NA HOSPITALI

Image
Dini mpya iitwayo Matengenezo inayozuia waumini wake kwenda sekondari na  hospitali, imeingia wilayani Kakonko mkoani Kigoma. Inakataza waumini wasiende sekondari na hospitali, kwa madai kuwa Biblia inawakataza kufanya hivyo. Mkuu wa Wilaya hiyo, Peter Toima  alibaini hayo juzi katika Kijiji cha Rumashi Kata ya Nyabibuye wilayani humo. Alikuwa kwenye ziara katika shule za sekondari za wilaya hiyo mpya, ambapo kwanza  aligundua wanafunzi wengi hawajaripoti shuleni kuanza Kidato cha Kwanza. Toima alipohoji kulikoni hawajaripoti katika shule walizopangiwa huku wale walioandikishwa darasa la kwanza, pia nao hawaripoti, alielezwa kuwa sababu za kiimani zinazokataza wengine kusoma. Mkuu huyo wa Wilaya alikatiza ziara yake na kuanza msako wa kuwasaka wanafunzi hao ambao hawajaripoti shuleni pamoja na waumini wa dini hiyo ya Matengenezo. Alisema aliamua kufanya hivyo, kwa sababu dini hiyo inawakosesha watoto haki yao ya msingi na kukiuka sheria

JAMAA AMPA KIPIGO CHA MBWA MWIZI MKE WAKE KISA KUTOMFUNDISHA FACEBOOK

Image
Katika hali ya kustaajabisha jamaa mkazi wa Bujumbura nchini Burundi ampa mkewe kichapo kisa hamfundishi kutumia facebook, sasa jamani kwa style hii mbona ni hatari sana maana tutauwa wake zetu maana kampa kichapo haswa mpaka kumtishia kifo TUPE MAONI YAKO NA USISAHAU KULIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK

UNAFAHAMU TABIA ZA WANAWAKE WASIOPENDA KUWAJIBIKA KITANDANI ? CHEKI HAPA

Image
Inasemekana wanawake wengi wenye ndoa wanakuwa na tabia zifuatazo zinazosababisha waume zao kwenda nje ya ndoa na wale wasio na tabia ya nyumba ndogo wanaishia kubakwa na waume zao   *Mwanamke asiyemtamkia kabisa mumewe kuwa anajisikia kuwa naye. *Mwanamke ambaye baada ya mechi huwa haonyeshi dalili yoyote kama ameridhika na tendo au hakuridhika *Mwanamke ambaye akiwahi kulala yeye mume akija hataki kuguswa *Mwanamke ambaye mumewe akimgusa anakubali huku analalamika .. kama ulikuwa unataka kwa nini hukuwahi kulala unangoja nilale ndo unakuja kunisumbua.. *Mwanamke huyo hatingishiki kwenye mechi kata kidogo tena amenuna… anangalia kushoto au kulia anangoja goli liingie … kama golikipa aliyekata tamaa ya kudaka penati…… *Mwanamke haweki kabisa maandalizi kama zana za kufanyia usafi baada ya mechi kama taulo, kitambaa nk Ziko nyingine nyingi ambazo ni kero zinazowafanya wanaume kusononeka….na mara nyingine juamua kuzira na kuwa mwanzo wa mmoja kuhama chumba….

Angalia Picha Jamii inayoishi na Mamba kama mifugo ya kaida.

Image
Hii ni jamii ya watu wa kijiji cha Bazoule kilichopo nje kidogo ya Mji mkuu wa Burkina Faso. Kwa mujibu wa wanahistoria, jamii hii ilianza kuishi na mamba yapata miaka 600 iliyopita.      

MASHOGA SASA WAWEKWA KITANZINI, OBAMA AWATETEA...

Image
Baadhi ya mashoga wakisherehekea siku yao. Hatimaye Rais Yoweri Museveni amesaini Muswada wa Sheria inayoharamisha na kutoa adhabu kali kwa wanaojihusisha na vitendo vya ushoga nchini na wanaowaficha. Msemaji wa Serikali, amesema Rais alitaka kutetea “uhuru wa Uganda dhidi ya shinikizo la mataifa ya Magharibi.” Rais Barack Obama wa Marekani alishahadharisha dhidi ya Muswada huo, akisema kuwasilishwa kwake kunaashiria Taifa la Uganda linapiga hatua moja nyuma.  Rais Museveni awali alikubali kuweka pembeni Muswada huo, akisubiri ushauri wa kisayansi kutoka Marekani. Vitendo vya ushoga nchini hapa tayari ni haramu. Desemba mwaka jana,  mwanaharakati mtetezi wa haki za mashoga, alielezea hofu yake juu ya sheria hiyo. Sheria hiyo mpya inatoa adhabu kwa wakosaji wa kwanza kufungwa miaka 14 jela na inaruhusu adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa vitendo vya “ushoga uliopindukia.” Pia kwa mujibu wa sheria hiyo, ni kosa la jinai kwa mtu ambaye hatafichua masho

ANGALIA NAFASI MPYA YA KAZI TBC

Image
Freelance sales officers  (TBC TAIFA). Tbc is a leading public service broadcaster in the region with two televison channels namely TBC1 AND TBC2,and three radio stations TBC TAIFA,TBC FM AND TBC International. wishes to strengthen its sales work force by recruiting more freelance sales officers  based in Arusha,Dsm,Dodoma,Kigoma,Lindi,Mbeya,Morogoro,Mwanza,Songea an Zanzibar. those intrested are strongly advised to apply. Guidelines for qualification. 1.Conversant with Tanzania's business enviroment 2.Able to bring in business through the sales of airtime for sports sponsrship and special programs as well as collect paymenty on behalf of TBC With set deadlines. 3.Able to achieve specified targets and objectives. 4.Honest,reliable and commited. 5.Able to work with minimum supervision 6.Able to effectively communicate. 7.Repossible and presentable 8.Residents of the above named regions Renumeration. Sales freelancer will be paid sales commision

KUHUSU MSANII KAJALA KUNYWA SUMU NA MPAKA KUKIMBIZWA HOSPITAL USIKU WA MANANE...!!

Image
Kajala ni miongoni mwa waigizaji wa Tanzania ambao wamekua wakimiliki headlines mara kwa mara nchini Tanzania.

KUANGALIA MECHI YA TWIGA STARS, ZAMBIA BURE

Image
Washabiki wa mpira wa miguu nchini watashuhudia bure mechi ya timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake (Twiga Stars) dhidi ya Zambia (Shepolopolo). Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itachezwa Ijumaa (Februari 28 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili alasiri. Twiga Stars ambayo ilipoteza mechi ya kwanza iliyochezwa Lusaka, Februari 14 mwaka huu kwa mabao 2-1 iko kambini chini ya Kocha Rogasian Kaijage na msaidizi wake Nasra Juma ikijiwinda kuwakabili Wazambia wanaotarajiwa kutua nchini Alhamisi (Februari 26 mwaka huu). Waamuzi wa mechi hiyo Ines Niyonsaba, Jacqueline Ndimurukundo, Axelle Shikana na Suavis Iratunga kutoka Burundi kutoka Burundi wanatarajiwa kuwasili nchini keshokutwa (Februari 26 mwaka huu). Kamishna Fran Hilton Smith kutoka Afrika Kusini yeye atatua nchini Februari 27 mwaka huu kwa ndege y

Milipuko ya mabomu yarindima Z’bar

Image
Na Mwinyi Sadallah, Mwananchi Zanzibar. Watu wanne wamejeruhiwa baada ya milipuko minne inayoaminika kuwa ni mabomu kutokea katika maeneo matatu tofauti Zanzibar. Katika moja ya matukio hayo, watu wanne walijeruhiwa, mmoja akikatika mguu, katika eneo la Unguja Ukuu, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Majeruhi wawili wamelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja. Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Mkoa wa Kusini Unguja, Hamad Said Masoud alisema mlipuko wa kwanza ulitokea juzi katika eneo la Fuaoni Maili Nne wakati watu wasiojulikana waliporusha kitu kinachoaminika kuwa ni bomu wakati waumini wa Kanisa la Evangelist wakiendelea na ibada ya Jumapili. Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame alisema tukio la juzi, kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kilirushwa wakati waumini wa kanisa hilo wakiendelea na ibada na kutoa mlipuko na kishindo kikubwa. Alisema wakati wakiendelea na uchunguzi wa tukio hilo, milipuko mingine mitatu ilitokea jana. Katika mlipuko wa kwanza kwa jana ul

Dalili za mume anayetembea kimapenzi na msichana wa kazi za ndani ‘hausigeli’.

Image
DALILI YA KWANZA Ishara ya kwanza ya mwanaume ambaye tayari yupo ndani ya uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi ni kupenda sababu za kumwamsha mfanyakazi huyo  hata pale anaporudi na kumkuta amelala. Utakuta baba amerudi nyumbani usiku wa saa sita, mkewe anamfungulia mlango, akishaingia na kukaa, anaanza: “Dada amelala?” Mke: “Ndiyo.” Baba: “Mwamshe nimpe kazi f’lani.” Mke unaweza ukamtetea sana msichana, lakini mumeo akasimamia msimamo ule ule. Sasa utakapomwamsha, akifika, mumeo utamuona anavyojipinduapindua. “Hii mboga umepika wewe dada?” “Hapana, mama.” “Ooo. Ulifua zile soksi zangu?” “Ndiyo baba.” “Sawa kalale.” Mke unajiuliza, sasa kumwamsha kote kule ndiyo maswali yenyewe hayo tu. Sasa tuendelee… Katika hali kama hii, wewe mke jaribu kuwa makini sana. Hakikisha hutoi nafasi kwa mumeo kumfikia au kuwasiliana na hausigeli kwa kitu chochote. Kama ni maji ya kuoga tenga wewe, vitu ambavyo vinawezekana kufanywa na wewe vitimize ili kuukata uhusiano hata kama utaku

ANGALIA VYUO VILIVYOFUTWA NA SERIKALI...MUWE MAKINI KABLA YA KUOMBA

Image
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imekunjua makucha yake kwa kutangaza kuvifuta vyuo 10 ambavyo havikusajiliwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) . Naibu Waziri wa wizara hiyo, Philip Mulugo, alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaama mbele ya Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii na kuongeza kuwa kufutwa kwa vyuo hivyo ni kutokana na kutokufuata utaratibu wa kusajiliwa. Alivitaja vyuo hivyo ni Media and Research Center, Vision Hotel and Tourism College, East Africa College of Hospitality and Tourism, The Africa Institute of Business Management na Aspiration Training Center, vyote vya Dar es Salaam. Vingine ni Dar es Salaam School of Hair Design, Media and Values Training Institute na Information Technology Training Center vya Dar es Salaam. Pia alikitaja Chuo cha Morogoro School of Medical Sciences cha Morogoro. Katika hatua nyingine, Mulugo alikiri kuwa kuna upungufu katika kutoa mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vik

MWAKIFWAMBA, BATULI WAKWAA SKENDO MPYAA

Image
WAKATI mchakato wa Bunge la Katiba ukianza leo mjini Dodoma, ishu hiyo imemtia kwenye tope Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba baada ya kukwaa skendo ya ‘kutoka’ na mwigizaji Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ walipotimba mkoani humo. Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Kwa mujibu wa staa wa filamu ambaye aliachwa katika safari hiyo ya kwenda kuhamasisha sanaa itambuliwe kwenye mchakato wa katiba mpya, Mwakifwamba alimteua Batuli ili akajiachie naye Dodoma kwa sababu hakuwa na vigezo. “Akina Monalisa (Yvone-Cherry Ngatikwa) walistahili kwa ukongwe wao kwenye fani, sasa Batuli aliingiaje? Akili za kuambiwa changanya na zako,” alisema msanii huyo. Akizungumzia skendo hiyo, Mwakifwamba alidai kuwa ameshasingiziwa vitu vingi hivyo anajua nyuma yake kuna kundi linalomchafua kila kukicha lakini ukweli ni kwamba hakumteua Batuli kwa lengo hilo. “Sasa kama nimemteua kwa sababu hiyo, je, akina Monalisa nao niliwateua kwa kigezo hicho?” alihoji Mwakifwamba huku akiki

MZUNGU AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE

Image
Raia wa Henellic, Alexamdrios Atanasios, amekamatwa  maafisa wa usalama wa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Jumapili usiku Februari 24, 2014, akiwa na kilo tano za madawa ya kulevya. Kwa mujibu wa duru za kiusalama uwanjani hapo, raia huyo alikamatwa wakati wa upekuzi, akijiandaa kupanda ndege ya Swiss air akielekea mjini Zurich. Kwa mujibu w aduru hizo za usalama, madawa hayo yalikutwa yakiwa yamefichwa kwenye “sakafu” ya begi lake baada ya mitambo ya kisasasa ya upekuzi, kugundua kuwa kulikuwa na ‘mzigo’. Habari zinasema, kwa sasa mtuhumiwa anashikiliwa kwenye kituo cha polisi cha uwanja wa ndege akisubiri taratibu za kisheria ili afungukliwe mashtak

MBONGO ABAKWA MPAKA KUFARIKI NCHINI CHINA ... MAITI YAKE YAKUTWA NA MAAJABU

Image
AMA kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa! Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (ukahaba), sasa yamemkuta Mbongo aitwaye Sabrina au Habiba, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kusikitisha. Sabrina au Habiba enzi za uhai wake. Habari za uhakika kutoka kwa chanzo chetu nchini humo zilisema kuwa, Sabrina (24), alifariki dunia Alhamisi iliyopita kufuatia kubakwa na wanaume watano, raia wa Nigeria ambao wamo nchini humo kibiashara. Tukio hilo lilijiri kwenye hoteli moja iliyopo kwenye Mji wa Guangzhou ambao umejaa wageni wengi, wakiwemo Watanzania. SIKU YA TUKIO Rafiki wa karibu wa Sabrina, Saada alisema siku ya tukio, marehemu akiwa katika harakati zake za kutafuta wateja alikutana na Mnigeria mmoja ambaye walipatana kulala wote kwa usiku mzima. “Kumbe yule Mnaigeria alikuwa na wenzake wanne. Usiku walimwingilia

MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAREHE 25.02.2014

Image
MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI MAGAZETI YA UDAKU LEO

Utafiti: Busu latajwa kama siri kuu ya uhusiano wenye furaha

Image
By phars Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa Marekani, siri ya ndoa/uhusiano wenye furaha ni busu na kusema ‘Nakupenda’ mara 10 kwa wiki pamoja na kwenda ‘out’ au date mara tatu kwa mwezi. Utafiti huo uliofanywa kwa wanandoa 1000, uligundua pia kuwa surprise 10 za kimapenzi na mazungumzo ya kina na ya kueleweka 10 kila mwezi ni chanzo cha uhusiano thabiti. Kuwa na hobby tatu au interest zinazofanana na kwenda likizo mara mbili kwa mwaka ni miongoni mwa mambo yanayotakiwa kwenye uhusiano. Kwenye utafiti huo pia imebainika kuwa siri ya ndoa kamilifu ni kukubaliana udhaifu wa kila mmoja, kuaminiana na muhimu zaidi kuwa tayari kusema samahani. Kuwa na muda mwingi wa pamoja, kuwa marafiki wa dhati na kuweza kufurahia pamoja ni miongoni mwa mambo yaliyotajwa pia kwenye orodha hiyo. Msemaji wa mtandao wa OnePoll.com, uliofanya utafiti huo alisema: Kila mtu anaweza kuoa/kuolewa lakini inahitaji kujitoa sana ili kufanya ndoa iwe kamilifu.” Utafiti huo pia ulibaini kuwa ndoa kami

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA ( TRA )

Image
Manager Internal Affairs Officer-Security Purpose of the Job -To assist the Head of Internal Affairs Department to oversee, administer, coordinate and ensure corporate security. -Major Activities of the Job. -Develop and enforce security policy, standards, guidelines and Procedures. -Prepare security operational plans and ensure its successful implementation. -Analyse security risk assessment and report the findings to the Head of department for Management attention. -Develop, implement and administer incident response and protection programmes for the Authority. -Manage security personnel and monitor performance of outsourced security firms. -Provide technical support and devise specific strategies and actions to effectively prevent all kinds of acts that endanger the security of the Authority’s resources. -Liaise with other departments in conducting security risk assessment in the Authority’s operational areas. -Enhance good working relationship with state security o