Posts

ANGALIA PICHA; MUME AKUSUDIA KUMTOA ROHO MKEWE HUKO MBEZI BEACH DAR

Image
Bwana mmoja huko mbezi beach amemrudisha mkewe nyumbani ajiwa mahututi badala ya kumpeleka hospital kubwa ya Mwananyamala kama rufaa ilivyoandikwa na madaktari wa Masana Hospital iliyoko Mbezi jijini Dar (Afande Jaina Msangi, kushoto, dada wa mgonjwa Ramla kulia kwa mgonjwa, mimi mbele ya mgonjwa wakati tukimbeba kwa ajili ya kumpeleka Mwananyamala. Kushoto kabisa ni mume wa mgonjwa akiwa pembeni kabisa Ni ngonjwa aliyezidiwa sana, hapo tumemshika alishwe chakula...kabla ya kumpeleka Mwananyamala Hospital Huyo ndo Mume wa mama Linda Mgonjwa, hapo akituambia hataki presha kama tunataka kumpeleka hospital tumchukue....baada ya vuta nikuvute ya kumtoa mgonjwa nyumbani apelekwe mwananyamala hatimae tulifanikiwa, na huyu mzee hajaenda kumuona tangu ampeleke... Wakati tunahangaika kumbeba mke wake tumweke kwenye gari, yeye hatoi kabisa ushirikia

BILIONEA DAR AJIUA KWA RISASI

Image
Stori: Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ NI jambo lililotoa mshtuko kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani ambapo Desemba 10, mwaka huu, walikuta mwili wa binadamu ukiwa ndani ya gari lililopinduka, pembeni mwa Barabara ya Kisarawe - Mwaneromango. Mbali na mwili, ndani ya gari hilo aina ya Toyota RAV 4 (milango mitatu new model) lenye namba za usajili T 273 AKP kulikutwa bastola moja, risasi 85 na magazini mbili. Utata ukaanzia hapo, polisi wa wilaya hiyo wakiongozwa na mkuu wao (aliomba jina lisitiriwe kwa sababu si msemaji) wakajiuliza ni nani mtu huyo ambaye alikuwa amefariki dunia? Kumbe alikuwa Suleiman Muhema (42), bilionea kijana mkazi wa jijini Dar es Salaam. polisi waliuchukua mwili wake na kwenda kuuhifadhi katika Hospitali ya Wilaya mpaka ndugu walipokwenda kuuchukua kwa mazishi. SULEIMAN MUHEMA NI NANI? Suleiman Muhema ni mkazi wa jijini Dar, amejenga jumba la kifahari Kijitonyama ambako aliishi na mke wake, Zihji Mvungi (42). Mpaka kif

KAMA ULIKUWA HUJUI HUYU NDIYE MKE WA MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA!!

Image
Faiza Ally a.k.a Mama Sugu Mr. Two Mbunge wa Chadema.

ANGALIA PICHA ZA MWANAUME ANAEISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE,LIPO KARIBU NA MLIMANI CITY

Image
Chacha Makenge (36) akiwa amepozi ndani ya chumba chake 'handaki'. Dunia haiishi vituko! Chacha Makenge (36) mzaliwa wa Kijiji cha Kisangula, Mtukula, Serengeti mkoani Mara anaishi jijini Dar lakini ndani ya handaki aliloligeuza chumba kwa miaka minne sasa, ni ajabu lakini ni kweli. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni nje ya handaki hilo lililopo mita chache kutoka majengo ya biashara ya Mlimani City, Makenge alisema alichukua uamuzi huo baada ya rafiki yake (jina linahifadhiwa) kumchomea nyumba na kuteketeza samani zote. ...Akitoka katika handaki lake. “Ilikuwa mwaka 2009 mwanzoni rafiki yangu huyo ndiye alinipa sehemu ya kiwanja chake nijenge nyumba. Nikawa  naishi hapo huku nikiendelea na shughuli zangu za kila siku. ...Akiwa nje ya handaki lake. “Siku moja akabadili mawazo, akanitaka nihame katika eneo lake bila kunipa sababu, nilimwomba anipe muda nitafute pa kwenda. Chacha akifunika mlango wa handaki lake. “Julai 2009 akaja na pol

BREAKING NEWS:" MANCHESTER CITY YAPANGWA DHIDI YA BARCELONA 16 BORA CHAMPIONS LEAGUE"

Image

MGOMO WA MADAKTARI KENYA WAKITHIRI

Image
Maafisa wa afya wanaowakilisha madaktari na wauguzi wamesisitiza kuwa hawatasitisha mgomo wao hadi serikali itakapotimiza matakwa yao. Hii ni licha ya mahakama kutoa agizo kwa madaktari hao kusitisha mgomo wao ifikapo tarehe 24 Disemba.Lakini wamesema kuwa wako tayari kuendelea na mazungumzo na serikali kutafuta kusuluhisha kwa mgomo huo unaohusu wao kupokea mishahara yao kutoka kwa serikali za majimbo wala sio serikali kuu. Jumatano iliyopita waziri wa afya James Macharia alitaka mahakama kutoa agizo la kusitisha mgomo wa madaktari ambao alisema unakiuka katiba na sheria za kazi. Wagonjwa kote nchini Kenya wameachwa bila huduma za afya kufuatia mgomo wa madaktari na wauguzi ambao umekuwa ukiendelea kwa siku sita sasa. Hali hii imesababishwa na kutokuwepo maelewano kati ya serikali na chama cha madaktari nchini kuhusu serikali kuamuru madaktari walipwe na serikali za majimbo. Madaktari wanataka mishahara yao iendelee kulipwa na wizara ya afya kupitia

Kufuru, ndege ya watu 150, Malkia wa Nyuki apanda peke yake

Image
Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharoosi 'Malkia wa Nyuki'. MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo. Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege hiyo aina ya Airbus 320 inayomilikiwa na Serikali ya Oman na anaitumia yeye kupitia cheo chake cha Balozi wa Heshima wa Oman nchini Morocco. Ndege hiyo ilikuwa imebeba watu 17, kati ya hao 16 ni wafanyakazi ndani ya ndege ambao ni daktari mmoja, walinzi wanne, waliobaki ni marubani na wahudumu. Akizungumza dakika chache kabla ya kuondoka nchini jana, saa 10 alfajiri, Malkia wa Nyuki alisema alishuka nchini kwa ajili ya mapumziko ya siku moja, pia kuzungumza na baadhi ya viongozi wa Simba. “Nimepita tu, tumepumzika kidogo hapa na baada ya hapo ninakwenda Comoro kwa ajili ya kuzungumza na kumchukua R

ANGALIA DRAW YOTE YA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Image
  Round of 16 Man. City (ENG) vS  Barcelona (ESP) Olympiacos (GRE) vS Man. United (ENG) Milan (ITA) vS Atlético (ESP) Leverkusen (GER) vS Paris (FRA)   Galatasaray (TUR) vS Chelsea (ENG) Schalke (GER) vS Real Madrid (ESP)   Zenit (RUS) vS Dortmund (GER) Arsenal (ENG) vS Bayern (GER)