Posts

SERIKALI YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA 36,071

Image
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIKA kukabiliana na uhaba wa walimu nchini serikali imetangaza kuajiri walimu wapya 36,071 ambapo watapangiwa vituo vya kazi mwezi ujao. Hatua hiyo ni mikakati ya serikali katika kukabiliana na uhaba wa walimu ambapo sasa watakuwa na upungufu wa walimu 21684 kutoka 57755 iliyokuwepo kabla ya kutanga ajira hizo mpya. Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Elimu, Kassim Majaliwa, alisema jana kuwa walimu hao watasambazwa katika shule za msingi na sekondari nchini. Alisema taratibu zote za ajira kwa walimu hao wapya zimekamilika na kwamba mwezi ujao wote walioajiriwa watakuwa wamepangiwa vituo vyao vya kazi. Majaliwa alisema majina ya walimu wote walioajiriwa na vituo vyao vya kazi tayari kwa kuanza majukumu na serikali itaendelea kuhakikisha uhaba wa walimu nchini unakuwa historia. Hata hivyo alisema kati ya walimu hao wapya 36021 watakuwa chini ya TAMISEMI na waliobaki watapelekwa kuwa chini ya

ANGALIA NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA AGA KHAN

Image
Teacher Librarian Company:Aga Khan Mzizima Secondary School Location:Dar Es Salaam POSITION DESCRIPTION: IBOP and IGCSE experienced teachers of Theory of Knowledge, English Literature, Humanities, Business, Mathematics and Sciences. AKES,T is currently seeking qualified, dynamic, open-minded, committed, effective and experienced candidates to fill the following positions from April 2014: The ideal candidates will: Model the attributes of the IB Learner Profile Be able to teach at least one IB subject at HL, with flexibility to teach across 2-3 different subjects/levels Be willing to supervise one CAS activity after school, 3-4pm once a week and sometimes at weekends Be willing to supervise at least one Extended Essay Have a university degree in subject specialism, and a teaching qualification with certification Have experience teaching in a culturallv diverse and economically disparate environment have demonstrated skills of EAL support and inclusio

ALILAZIMIKA KUKEKETWA ILI ASOMESHWE.

Image
ESTER CHARLES   (16) ambaye anasoma kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Rebu iliyoko wilayani Tarime mkoani Mara, alishindwa kujizuia na kudondosha machozi katika ukumbi wa kantini ya jeshi la polisi wilayani Tarime baada ya kueleza masaibu aliyokumbana nayo kwa kufanyiwa ukeketaji na wazazi wake. Anapofanyiwa ukeketaji huaminika kuwa mwanamke kamili aliyeondolewa mkosi na ambaye anastahili kuolewa. Wakati anafanyiwa ukatili huo, Esta alikuwa anasoma darasa la saba katika shule ya msingi Rebu, ambapo mara baada ya kukeketwa, anasema alipata maumivu makali ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu nyingi. Anasema alikubali kufanyiwa ukeketaji na wazazi wake baada ya kufaulu mtihani wa darasa la saba na alikuwa na hamu ya kuendelea na masomo, lakini akapewa masharti na wazazi wake kuwa ili aendelee na masomo lazima akeketwe. “Sikuwa na jinsi, nilijua ningeenda kukumbana na maumivu makali na kwasababu nilikuwa napenda  shule ilinibidi kukeketwa” anaeleza. Kutok

RAIS KIKWETE AZINDUA MTAMBO WA KUHAKIKI TAKWIMU ZA MAWASILIANO

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) leo February 27, 2014 katika jengo la Mawasiliano Towers jijini Dar es salaam. Kulia ni Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pro, Makame Mnyaa Mbarawa, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Prof. John Nkoma, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadick na wadau wengine wa tehama. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) leo February 27, 2014 katika jengo la Mawasiliano Towers jijini Dar es salaam. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) aliouzindua leo February 27, 2014 katika j

ANGALIA PICHA ANACHOKIFANYA HUYU JAMAA NA MFALME WA PORI SIMBA NI HATARI TUPU.

Image
He trusts lions enough to stick his arm in their mouth! Kevin leverages his ability to help prevent these lions from being poached. As you can see from video below, these cats have a much gentler side as well.

WANAWAKE WA SASA HAWATAKI NGUO ZA NDANI na MADHARA YAKE NDIO HAYA

Image

LIGI YA MABINGWA ULAYA : REL MADRID WAUA.WAICHAPA SCHALKE 6

Image
Schalke 1-6 Real Madrid:  Surrounded: Real Madrid's Gareth Bale bursts into Schalke's box as the home side back off +27 Mind the gap: After finding some space, Bale shoots low and hard into the bottom corner to put his side 2-0 ahead All smiles: Bale (left) celebrates his third Champions League goal for Madrid with Cristiano Ronaldo (right)