Posts

ANGALIA PICHA ZA BIBI ANAYESADIKIKA KUWA NI MCHAWI AMEKUTWA CHUMBANI KWA MTU MJINI BUKOBA

Image
  Bi. Kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 70, ambaye jina lake halikuweza kufahamika kwa urahisi  amenusurika kifo baada ya polisi kumnusuru kwa kudaiwa kukutwa akiwa uchi chumbani kwa mtu  akifanya mambo yasiyoeleweka alfajiri ya leo  Ijumaa Januari 31,2014   Bi. Kizee akiwa kwenye gari la polisi baada ya kuokolewa na polisi kutoka kwa wananchi wenye asila kali mara tu ya kukutwa kwenye chumba. Mashuhuda wa mwanzo wanasema Bibi huyo amekutwa akitapatapa bila kujua la kufanya huku mwili wake ukiwa Uchi na nguo zake  zikiwa pembeni kitendo kinachopelekea kusadikiwa kwamba Bibi huyu ni  mchawi wakati wengine wakisema wasubili taarifa ya Polisi.    Polisi wakiondoka eneo la tukio wakiwa na  Shuhuda mmoja aliyedai alikuwa miongoni mwa watu waliomkurupusha bibi huyo chumbani.  Wakielekea kituo cha cha polisi cha Bukoba Mjini leo asubuhi.  Bibi huyo akiwa kwenye ulinzi mkali baada ya kufikishwa kwenye kituo kikuu cha polisi mjini Bukoba PICHA ZO

Washindi wa Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ warejea kutoka Old Trafford

Image
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku. Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kushoto) akiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel ya Mimi ni Bingwa walioondoka nchini Jumapili wiki hii kwa safari iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku. Baadhi ya washindi wa tiketi kupitia promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel wakishuhudia mechi kati ya Manch

STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR JOBS FEB 2014

THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR(SUZA) JOB OPPORTUNITIES The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public university in Zanzibar established by Act No. 8 of the House of Representatives of 1999. Since its inception in 2002 it has been expanding in academic programmes as well as student enrolment. Its vision is to be the most preferred University in the Eastern Africa. SUZA invites applications from suitably qualified and competent Tanzanians to be considered to fill the following vacant posts: 1. Assistant Lecturer of Social work (one post) 2. Assistant Lecturer of Archaeology and Heritage (one post) 3. Assistant Lecturer of Tourism (one post) 4. Assistant Lecturer of Portuguese (one post) 5. Assistant Dean of Students (one post) 6. Office Superintendent (one post) 7. Loan Desk Officer (one post) 8. Office Management Secretary (one post) Re-advertised 9. Security Guard (Seven posts) 10. Office Attendant III (one post) 1. Assistant Lecturers for Social Wor

WAZIRI MKUU WA FINLAND ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA) KEMPASI YA VUGA.

Image
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) Professa Idrss Ahmad Raia akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Finland Jyrki Katainen alipotembelea chuo hicho Kempasi ya Vuga alipokuwa na ziara ya siku  Zanzibar. Waziri mkuu wa Finland Jyrki Katainen akizungumza na uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) alipotembelea chuo hicho katika ziara yake ya siku moja Zanzibar (wa kwanza kulia) ni Waziri wa Miundombinu na Mwasiliano Rashid Seif Suleiman na (kati kati) ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Professa Idriss Ahmad Rai. Baadhi ya wahadhiri na viongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar wakimsikiliza Waziri Mkuu wa Finland Jyrki Katainen wakati akiwahutubia katika Kempasi ya Vuga wakati wa ziara yake ya siku moja Zanzibar. Picha ya pamoja ya Waziri Mkuu wa Finland na baadhi ya wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar na viongozi aliofutana nao kutoka Tanzania Bara. (wa kwanza kushoto) ni Balozi wa Finland nchini Tanzania Sinikka Antila.(Picha na Makame Mshenga

ANGALIA NAFASI ZA KAZI HAPA

Image
  MUHIMBILI SENIOR SYSTEM ANALYST GRADE I Qualifications: Holder of Master’s of Science in Computer Sciences or Information Systems or Telecommunications or Electronic Engineering or relevant discipline Apply:  The Deputy Vice Chancellor,Planning Finance and Administration Muhimbili University of Health and Allied Sciences Box 65001, Dar es Salaam Details: Daily News 22 January, 2014 Deadline: 4 February, 2014 HUMAN  RESOURCES  AND ADMINISTRATIVE OFFICER  I - 2 POSITIONS Qualifications: Holder of Bachelor degree in Public/Business Administration,Human Resources,or Industrial Relations from a recognised university/Institution Apply: Rector Institute of Accountancy Arusha Box 2798, Arusha Details:Daily News 23 Jan, 2014 Deadline: 7 February, 2014 PUBLIC RELATIONS OFFICER I Qualifications: Holder of Bachelor degree in Business Administration,Marketing Mass Communication,Public Relations or its equivalent from a recognised university/Institution Apply: Rect

ANGALIA PICHA MTOTO WA MAAJABU ALIYEZALIWA KATIKA HOSPITALI YA MKOA WA SINGIDA.

Image
WADAU KUMRADHI KWA PICHA IFUATAYO HAPO CHINI KAMA ITAWAKWAZA. Mtoto mchanga aliyezaliwa  akiwa hana mikono, kifua, shingo na kichwa, ila ana anasehemu ya miguu , makalio na tumbo akiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida muda mfupi baada ya kuzaliwa na Bi. Amina Bilau mkazi wa  kijiji cha Mtamaa tarafa ya Mwakonko manispaa ya Singida . (Picha na Nathaniel Limu).  Na Nathaniel Limu. Mtoto mchanga amezaliwa katika  hospitali ya mkoa wa Singida akiwa hana baadhi ya sehemu za mwili kuanzia kifuani hadi kichwani. Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Singida Dkt. Joseph Malunda, amesema hospitali ya mkoa wa Singida ni mara ya kwanza kuzaliwa kiumbe kama hicho tangu kuwa hospital ya mkoa. Dkt. Malunda amesema watoto hao ambao wamezaliwa mapacha wote wa kike wakiwa na miezi saba,  mmoja ambaye ana viungo vyote  alikuwa na kilo 1.3  lakini alifariki  baada ya saa sita kupita. Dkt. Malunda amesema baada ya mama mzazi wa watoto hao Amina Bilau kujifungua

AIBU HAIJAWAHI KUTOKEA:. BABU ANASWA NA DENTI GESTI

Image
AIBU YA MWAKA: Babu akifunika uso wake baada ya kunaswa na denti gesti. Mzee huyo alinaswa laivu akiwa gesti na denti wa shule moja ya sekondari jijini Dar (jina la denti na shule vinahifadhiwa kimaadili).   Tukio hilo la aibu lilijiri juzikati kwenye gesti moja iliyopo maeneo ya Kawe, Dar na kusababisha timbwili zito. TAARIFA MEZANI KWA OFM Hivi karibuni, kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, kilipokea lalamiko kutoka kwa mzazi wa denti huyo ambaye alieleza juu ya mabadiliko ya mwanaye kitabia na kushuka kitaaluma kutokana na kusumbuliwa na ‘mbaba’ huyo. Mzazi huyo aliiambia OFM kuwa amekuwa akifuma mawasiliano ya kwenye simu ya mkononi ya mwanaye na mwanaume huyo ambaye alikuwa hamfahamu. FUNDISHO KWA WAZEE: Babu akijiandaa kuvaa nguo yake ya ndani baada ya kunaswa gesti. CHANZO Mama huyo alisema kuwa kutokana na maendeleo ya mwanaye kuzidi kudorora shuleni, aliamua kumfuatilia kwa karibu kwa kuwa haku